![mtanange tv](/img/default-banner.jpg)
- Видео 313
- Просмотров 2 457 724
mtanange tv
Танзания
Добавлен 11 сен 2020
MTANANGE TV
Let us talk about sports, entertainment and enjoy it together⚾🥎⚽🎤(REHOBOTHI)
.
.
.
.
.
.
mtanangetv@gmail.com
Let us talk about sports, entertainment and enjoy it together⚾🥎⚽🎤(REHOBOTHI)
.
.
.
.
.
.
mtanangetv@gmail.com
🚨Uchambuzi Wasaffm,Mpya kutoka Simba,Kikosi Kinarejea kambini,Ahmedally Awajibu kuhusu tiketi kuisha
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
Просмотров: 8 878
Видео
🚨Uchambuzi Crownfm,Simba kumaliza Tiketi,Yanga Mashabiki wanawaangusha Viongozi sana,wajifunze simba
Просмотров 3 тыс.10 часов назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi Crownfm,Ahmedally Afunguka mazito baada ya Tiketi kumalizika,ATOA neno kwa Mashabiki.
Просмотров 13 тыс.22 часа назад
#football #alikamwe #simba #simbaislive #ahmedally #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi Wasaffm,Simba imetisha wameanza ubaya ubwela mapema tiketi zimeisha,Timu imetua Leo.
Просмотров 6 тыс.23 часа назад
#football #simba #simbatanzania #yangasc #ahmedally #alikamwe #simbaislive #yangafc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi EFM, Uongozi Simba wafunguka baada ya Kuuza Tiketi zote,Simba wapewe mauwa Yao kwa hili.
Просмотров 15 тыс.23 часа назад
#football #alikamwe #simbaislive #yangafc #ahmedally #simba #simbatanzania #yangasc #yangatv #youtube
🚨Ohoo!Zandaani Na Ricardomomo, Mchezaji amegoma kurudi kwenye Timu yake,Kamgomea Hadi Mwenyekiti mo.
Просмотров 1,9 тыс.2 часа назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi EFM, Ahmedally Afunguka sakata la Kibu Kurejea,Inshu ya Golikipa mpya Kutua Simba atajwa.
Просмотров 6 тыс.2 часа назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi Wasaffm,Taarifa Mpya kutoka Simba,Kikosi Kinarejea Tanzania Leo,Mapya yaliyojitokeza misr
Просмотров 5 тыс.2 часа назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi Crownfm,Hans Rafael Afunguka Sakata la Kibu Denis Kurejea Tanzania,Nini kimetokea Simba.
Просмотров 30 тыс.2 часа назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #yangafc #yangatv #youtube #simbaislive #simbatanzania #yangasc
🚨Uchambuzi Wasaffm,Mapya yameibuka Kibu Denis yupo njiani Kurejea Dae es salaam,Simba waibuka.
Просмотров 8 тыс.2 часа назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi EFM,Taarifa njema kutoka Yanga,NEEMA zinamiminika udhamini mpya,Vilabu viige haya Yanga.
Просмотров 10 тыс.2 часа назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi Wasaffm,LIVE Hajimanara akitema cheche,awalipua Simba na kikosi chao,mwananchi day yamoto
Просмотров 6 тыс.4 часа назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi EFM,Kauli ya Kocha Fadlu baada ya mechi ya mwisho,Simba 2-1 Aladalah,Tathimini Faida pres
Просмотров 3,6 тыс.4 часа назад
#football #alikamwe #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive
🚨Uchambuzi Wasaffm,Simba 2-1 Aladalah, Tathimini Simba walivyohitimisha pre -season South Africa.
Просмотров 13 тыс.4 часа назад
#football #alikamwe #simba #simbaislive #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simbatanzania #yangafc
🚨Uchambuzi Crownfm,Simba 2-1 Aladalah,magoli ya mukwala na Joshua mutale, Tathimini ya mchezo.
Просмотров 34 тыс.4 часа назад
#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube
🚨Uchambuzi EFM,Simba 2-1 Aladalah,Tathimini ya mchezo na Anachokita kocha Fadlu,mechi ya mwisho.
Просмотров 20 тыс.4 часа назад
🚨Uchambuzi EFM,Simba 2-1 Aladalah,Tathimini ya mchezo na Anachokita kocha Fadlu,mechi ya mwisho.
🚨Uchambuzi EFM,Mapya kutoka Yanga,Yanga kukutana na Red arrows Siku ya mwananchi je nikipimo sahihi.
Просмотров 3,6 тыс.4 часа назад
🚨Uchambuzi EFM,Mapya kutoka Yanga,Yanga kukutana na Red arrows Siku ya mwananchi je nikipimo sahihi.
🚨Uchambuzi EFM,Simba 2-1 Telescope,Kocha Fadlu Alia na eneo la umaliziaji Nafasi,Maswali Yaibuka.
Просмотров 5 тыс.7 часов назад
🚨Uchambuzi EFM,Simba 2-1 Telescope,Kocha Fadlu Alia na eneo la umaliziaji Nafasi,Maswali Yaibuka.
🚨Uchambuzi Crownfm,Simba 2-1 Telescope Egypt,Kauli ya Kocha Fadlu baada ya mchezo,shida bado ipo.
Просмотров 6 тыс.7 часов назад
🚨Uchambuzi Crownfm,Simba 2-1 Telescope Egypt,Kauli ya Kocha Fadlu baada ya mchezo,shida bado ipo.
🚨Uchambuzi EFM,Kocha Nabi Ainyooshea mikono Yanga,Yanga 4-0 Kaizer,Mashabiki wa Kaizer Timu imekufa.
Просмотров 15 тыс.7 часов назад
🚨Uchambuzi EFM,Kocha Nabi Ainyooshea mikono Yanga,Yanga 4-0 Kaizer,Mashabiki wa Kaizer Timu imekufa.
🚨Matokeo makubwa waliyopata Yanga kwenye Ziara Yao South Africa,Yanga 4-0 Kaizer.
Просмотров 2,5 тыс.7 часов назад
🚨Matokeo makubwa waliyopata Yanga kwenye Ziara Yao South Africa,Yanga 4-0 Kaizer.
🚨Yanga 4-0 Kaizer chiefs Faida waliyoipata Yanga kwenye Ziara ya South Africa.
Просмотров 12 тыс.7 часов назад
🚨Yanga 4-0 Kaizer chiefs Faida waliyoipata Yanga kwenye Ziara ya South Africa.
🚨BREAKINGNEWS, ALIKAMWE AJIUZULU KAMA AFSA HABARI YANGA,ATOA UJUMBE HUU MZITO KWA MASHABIKI.
Просмотров 3,8 тыс.7 часов назад
🚨BREAKINGNEWS, ALIKAMWE AJIUZULU KAMA AFSA HABARI YANGA,ATOA UJUMBE HUU MZITO KWA MASHABIKI.
🚨Yanga 4-0 Kaizer chiefs, Tathimini kiwango cha Yanga,Kocha Gamondi anavyosuka ti
Просмотров 20 тыс.7 часов назад
🚨Yanga 4-0 Kaizer chiefs, Tathimini kiwango cha Yanga,Kocha Gamondi anavyosuka ti
🚨Yanga 4-0 Kaizer chiefs,Tathimini dkk 90, Alikamwe atema cheche,ubora wa Yanga.
Просмотров 20 тыс.7 часов назад
🚨Yanga 4-0 Kaizer chiefs,Tathimini dkk 90, Alikamwe atema cheche,ubora wa Yanga.
🚨Kaizer chiefs 0-4 Yanga,Tathimini dkk 90,namna Yanga imenufaika south Africa.
Просмотров 50 тыс.9 часов назад
🚨Kaizer chiefs 0-4 Yanga,Tathimini dkk 90,namna Yanga imenufaika south Africa.
🚨Ohoo Hajimanara Alipuka ,Yanga 4-0 Kaizer chiefs,Atuma ujumbe kuelekea Tarehe 8,Awalipua Simba.
Просмотров 2,4 тыс.9 часов назад
🚨Ohoo Hajimanara Alipuka ,Yanga 4-0 Kaizer chiefs,Atuma ujumbe kuelekea Tarehe 8,Awalipua Simba.
🚨EDOKUMWEMBE na Hans Rafael wainyooshea mikono Yanga,Yanga 4-0 Kaizer chiefs,Yanga wanatisha.
Просмотров 15 тыс.9 часов назад
🚨EDOKUMWEMBE na Hans Rafael wainyooshea mikono Yanga,Yanga 4-0 Kaizer chiefs,Yanga wanatisha.
🚨FULL TIME,YANGA 4-0 KAIZER CHIEFS,MAGOLI YOTE,DUBE,AZIZ KI,MZIZE,YANGA YA MOTO SANA,KOCHA GAMONDI🔥
Просмотров 1,6 тыс.9 часов назад
🚨FULL TIME,YANGA 4-0 KAIZER CHIEFS,MAGOLI YOTE,DUBE,AZIZ KI,MZIZE,YANGA YA MOTO SANA,KOCHA GAMONDI🔥
🚨ISMAIL Aden Rage ATOA ujumbe kwa Simba Sakata la Kibu na kuelekea msimu ujao.
Просмотров 12 тыс.9 часов назад
🚨ISMAIL Aden Rage ATOA ujumbe kwa Simba Sakata la Kibu na kuelekea msimu ujao.
Simba atuna mbamba Simba inaongoza kwa mashabiki
Hata Simba Haina furaha na yeye aende tu
Ubaya ubwela mnyama kashaamua mwenye wivu ajinyonge..
Ahamedi wewe ndo semaji la caf huna baya.kwanza unaongea kwa nizamu ya Hali ya juu hubwatuki wala humsemi mtu unasemea Simba yako tu...
Ndio maana tunasema Simba inamashabiki wengi kuliko timu yeyote. Hili linajidhibitisha zahiri
Yanga waache tabia za kuingiza mashabiki bure kwenye mechi zao. Ni tabia za kimaskini hizi. Washabiki lazima watambue kwamba wana wajibu wa kuchangia mapato ya timu zao ikiwemo kununua tiketi za mechi. No more gate free tickets kwa mashabiki wa Yanga. Change of attitude ndiyo jambo la muhimu hata kama ni kupoteza baadhi ya mashabiki
Simba nguvu moja 🦁🦁🦁
Hansi Leo katetea upuuzi Leo
Ahamedi ,,,wewe ni zaidi ya semaji 🎉🎉,yule tango pori anahaha
Mashabiki wengi wa yanga wapo mikoani sio dar na mashabik wa dar wameshaizoea yanga
Msemaji alie bora kutokea na mhamasishaji bora tz kwa sasa hakuna zaidi ya Ahmed ally
AHMED WEWE NI ZAIDI YA WASEMAJI NI KIONGOZI BORA..KUNAWACHAMBUZI ,WALIUNGA MKONO UTOPOLO KUINGIZA MASHABIKI BURE.....WEWE 1 MMOJA ZAIDI YA WALE WOTE....
Semajii la cafu wewe ni hari tiketi zimeisha zote , hii ndiyo maana ya semaji ukitoa tamko tuu sisi Mashabiki tunatii.
😅😅siwamezoea vyabure ?hawaniwapenda ubwete sana
Ukiwa mbishi nimbishitu lakini uwanja utajaa birafunguria mbwa
Ahamedi huyo ameongea kwautulivu mkubwa sana
Tatizo Yanga wamezoea vya bure mbona kwenye supu ya vibudu wanajazana
Ni kwa sababu hawana jipya tena hapoo team haina wasemaje hiyoo ni waropokaji tu hawatumii taaluma
Utopolo wanasubiri ipigwe ya mgambo ticket buree wataenda kuchukua kama mbuzi wa kafara😂😂😂
Utopolo hawana la kwenda kuonyesha kitu tena kwa sababu team yao wameshaiona ikicheza hadi kwenye TV. Walipocheza south Africa. Sasa kigeni ni kipi?
Vibwengo watanunua
Ubaya ubwela
Simba ni timu kubwa ndo kithibitisho wake hapo sio kama yanga bado hawajajaza na walianza kutangaza tiketi
Sema Simba wengi ni wapenzi wa mpira mashabiki uwa wa chache ,,tofauti na uli upande wa pili Ina washabiki wengi wapenzi wa mpira ni wa chache,, .Kama una D2 uwezi nielewa
Mbona mnatusema sana wachambuzi mmetumwa au
SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Crown mko vizuri sanaconglution 👏👏👏👏
Nyie huwa hamkosi lakukosoa
Wamewazoesha vya Bureee mtot umleavyo ndivyo akuavyoo
Wamezoea fungulia umbwa
Tukiwambia Simba ni lidude likubwa mnabaki kupiga midomo kikowapi sasa
Wana subiri GSM anunue tiket wapite bule wao si wanapenda kulipiwa Kuna siku watalipa nao waende Mombasa wakaone umuhimu wa kulipiwa
Hawana mashabiki wao wana wapiga kelele tu
Simba wamefanikiwa kwa kuficha time yao hivyo wametengeneza uchu kwa kutoonesha machi zao.
kwanza hayo mambo ya kuwapikia supu mashabiki niushamba tu.
Wivu tuu 🤣
Nikwel kabisa kama vp hata hiyo supu wasipewe😂😂😂
Kwani mchezo umeshachezwa,mbona wachambuzi viherehere sana
Yanga tutajaza Uwanja Jumapili,watch this space
aaaaaaaaaaaaa hansi una tukosea sasa
Mashabiki wenzangu wa yanga wengi ni bahiri sana na wamepoa hawana mwamko
Wacheni kuwagombanisha mashabiki na viongozi wao, tafuteni lakuzungumza. Game ya Alhal na Simba walisema ticket sold out hatma yake mechi imeanza mapengo matupu.
Utopoloooo kelele tu, kununua tiketi aaaaaah 😂😂😂😂😂
Yanga makombe tu ... Makolooo aaahhh
Hawajamaliza amna kitu hapo
Kumariza Nini kamahazijaisha watasemaje hivyo iriwatu wasinunue ? Nikwamba nitayari kamahutaki kaakinya
SIMBA ni timu iliyo zaidi timu tunaipenda wenyewe,, acha ituue ti,,
Na wasafi ni chawa wa yanga kama walivyo wachambuzi wa media nyingi hapa nchini
Wanalipiwa kodi za nyumba na kuwekewa mafuta kwenye magari waoga mnoo unaona kabisa kusifia Sifia tu
Wazee wa xupu ni mwndo wa xhombo tu wamekaa kimy
Mgeni rasmi nani?
Kwanini wabongo hatupendi ukweli Sasa wachambuzi wanaingiaje kwenye uchawa?
UWANJA MNAJAZA SIMBA DAY TU? BAADA YA HAPO HATA CHAMAZI INAWASHINDA KUJAZA,NA NINYI MEDIA SIELEWI NI ELIMU YENU KUKOSA SKILLS ,RESEARCH SASA OK ZIMEISHA TUFANYEJE,JE WALITAKA MAPATO,?AU JUST KUIJAZA UWANJA? NK NA BAADA YA HAPO ITAZUIA MO KUSEMA KWAMBA ANAENDESHA TIMU KWA HASARA?.MUELEZE IMPACT YA KWANINI SIMBA DAY UWANJA UNA JAA BT MECHI NYINGINE ZA LIGI HAWAJAZI?SHIDA HAPO MTAANZA KUTOA SIFA KWA KULINGANISHA NA YANGA,BT ECONOMIC WISE TEAMS ARE STRUGGLING.WAMEANZA SIMBA DAY OVER 20 YERS WHAT ARE THEY HAVE IMPROVED FOR US TO COPY AND WORK ON ,NDIYO KWANZA TEAM HATA HAIJULIKANI UONGOZI WAO WANAPATIKANA WAPI?NO TEAM LOCATION(PROPER ADDRESS) ,WALIBUNI HII SIKU HONGERA KWAO LKN BAADA YA HAPO NAONA TUMEBAKI HATA KUSHINDANA ETI TUUJAZE UWANJA TUWAZIDI YANGA,(ZINGATIA YANGA WAMEIGA).PLEASE TUACHE KUWA NA MIND CHEAP TUNAPOJADILI ISSUE HAMFANYI RESEARCH IT IS JUST KUSHABIKIA TU.THERE IS NOTHING SPOECIAL-WATU WANAANGALIA MPIRA MTAANI HATA KOMBE LA MBUZI SEMBUSE UNAPOTAMBRISHA WACHEZAJI HATA KAMA NI WABOVU-JUST KUAMBIWA MASHINE NA TAKWIMU FEKI-HAO NDIYO WATANZANIA HATUJUI KESHO TUNAJUA KILICHO MBELE YAKO NA WAKATI HUO HUO.MMEKUWA PROGRAMED MIND ZENU.
UWANJA MNAJAZA SIMBA DAY TU? BAADA YA HAPO HATA CHAMAZI INAWASHINDA KUJAZA,NA NINYI MEDIA SIELEWI NI ELIMU YENU KUKOSA SKILLS ,RESEARCH SASA OK ZIMEISHA TUFANYEJE,JE WALITAKA MAPATO,?AU JUST KUIJAZA UWANJA? NK NA BAADA YA HAPO ITAZUIA MO KUSEMA KWAMBA ANAENDESHA TIMU KWA HASARA?.MUELEZE IMPACT YA KWANINI SIMBA DAY UWANJA UNA JAA BT MECHI NYINGINE ZA LIGI HAWAJAZI?SHIDA HAPO MTAANZA KUTOA SIFA KWA KULINGANISHA NA YANGA,BT ECONOMIC WISE TEAMS ARE STRUGGLING.WAMEANZA SIMBA DAY OVER 20 YERS WHAT ARE THEY HAVE IMPROVED FOR US TO COPY AND WORK ON ,NDIYO KWANZA TEAM HATA HAIJULIKANI UONGOZI WAO WANAPATIKANA WAPI?NO TEAM LOCATION(PROPER ADDRESS) ,WALIBUNI HII SIKU HONGERA KWAO LKN BAADA YA HAPO NAONA TUMEBAKI HATA KUSHINDANA ETI TUUJAZE UWANJA TUWAZIDI YANGA,(ZINGATIA YANGA WAMEIGA).PLEASE TUACHE KUWA NA MIND CHEAP TUNAPOJADILI ISSUE HAMFANYI RESEARCH IT IS JUST KUSHABIKIA TU.THERE IS NOTHING SPOECIAL-WATU WANAANGALIA MPIRA MTAANI HATA KOMBE LA MBUZI SEMBUSE UNAPOTAMBRISHA WACHEZAJI HATA KAMA NI WABOVU-JUST KUAMBIWA MASHINE NA TAKWIMU FEKI-HAO NDIYO WATANZANIA HATUJUI KESHO TUNAJUA KILICHO MBELE YAKO NA WAKATI HUO HUO.MMEKUWA PROGRAMED MIND ZENU.